Numbers 10:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nye mkuu wa vikosi vya shina la wana wa Benyamini alikuwa Abidani, mwana wa Gideoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
naye Abidani mwana wa Gideoni, aliongoza kabila la Benjamina.