Numbers 11:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwake bedola.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo Mana zilikuwa kama punje za mtama mweupe, tena ukizitazama zilifanana na magwede.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwake bedola.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mana ilikuwa kama mbegu ndogo zenye rangi ya kimanjano.