Numbers 13:24 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bonde lile liliitwa bonde la Eshkoli kwa sababu ya hicho kishada walichokata huko wana wa Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bonde lile liliitwa bonde la Eshkoli kwa sababu ya hicho kishada walichokata huko wana wa Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mahali pale wakapaita Kijito cha Eskoli (Kichala) kwa ajili ya hicho kichala, wana wa Isiraeli walichokikata huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bonde lile liliitwa bonde la Eshkoli kwa sababu ya hicho kishada walichokata huko wana wa Israeli.