Numbers 13:27 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walimwambia Mose, “Tuliifikia nchi uliyotutuma tuipeleleze; hiyo ni nchi inayotiririka maziwa na asali, na hili ni tunda lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakampa Musa taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwambia wakasema, Tulifika nchi ile uliyotutuma, na hakika yake, ni nchi yenye wingi wa maziwa na asali, na haya ndiyo matunda yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walimwambia Mose, “Tuliifikia nchi uliyotutuma tuipeleleze; hiyo ni nchi inayotiririka maziwa na asali, na hili ni tunda lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakampa Mose taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakampa Musa taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamwambia wakasema, Tulifika nchi ile uliyotutuma, kwa hakika, ni nchi yenye wingi wa maziwa na asali, kwa uthibitisho, haya ndiyo matunda yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walimwambia Mose, “Tuliifikia nchi uliyotutuma tuipeleleze; hiyo ni nchi inayotiririka maziwa na asali, na hili ni tunda lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakawasimulia kwamba: Tumeiingia nchi, mliyotutuma, ichuruzikayo maziwa na asali, nayo haya ni matunda yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwambia wakasema, Tulifika nchi ile uliyotutuma, na hakika yake, ni nchi yenye wingi wa maziwa na asali, na haya ndiyo matunda yake.