Numbers 13:31 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini watu walioandamana naye kuipeleleza nchi wakasema, “Hatutaweza kupigana na watu hao; wao wana nguvu kuliko sisi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kuliko sisi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali wale watu waliopanda pamoja naye wakasema, Hatuwezi kupanda tupigane na watu hawa; kwa maana wana nguvu kuliko sisi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini watu walioandamana naye kuipeleleza nchi wakasema, “Hatutaweza kupigana na watu hao; wao wana nguvu kuliko sisi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kuliko sisi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kutuliko sisi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali wale watu waliopanda pamoja naye wakasema, Hatuwezi kupanda tupigane na watu hawa; kwa maana wana nguvu kuliko sisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini watu walioandamana naye kuipeleleza nchi wakasema, “Hatutaweza kupigana na watu hao; wao wana nguvu kuliko sisi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wale watu wengine waliopanda naye wakasema: Hatuwezi kupanda, tupigane na hao watu, kwani ndio wenye nguvu kuliko sisi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali wale watu waliopanda pamoja naye wakasema, Hatuwezi kupanda tupigane na watu hawa; kwa maana wana nguvu kuliko sisi.