Numbers 14:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ataiona nchi ile niliyoapa kuwapatia babu zao; kadhalika hata wale wanaonidharau pia hawataiona.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hakika yangu hawataiona hiyo nchi niliyowaapia baba zao, wala katika hao wote walionidharau hapana atakayeiona;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ataiona nchi ile niliyoapa kuwapatia babu zao; kadhalika hata wale wanaonidharau pia hawataiona.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
hakuna hata mmojawapo atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
hakika yangu hawataiona hiyo nchi niliyowaapia baba zao, wala katika hao wote walionidharau hapana atakayeiona;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ataiona nchi ile niliyoapa kuwapatia babu zao; kadhalika hata wale wanaonidharau pia hawataiona.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
hawa wote hawataiona nchi, niliyowaapia baba zao kuwapa, kweli wao wote walionitukana hawataiona kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hakika yangu hawataiona hiyo nchi niliyowaapia baba zao, wala katika hao wote walionidharau hapana atakayeiona;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
atakayeona inchi ile niliyoapa kuwapatia babu zao. Vilevile hata wale wanaonizarau hawataiona.