Numbers 15:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sema na wana wa Isiraeli, uwaambie: Mtakapoingia katika nchi yenu ya kukaa, ninayotaka kuwapa,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwaambie Waisraeli kwamba mutakapofika katika inchi ninayowapa ambamo mutaishi,