Numbers 15:34 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakamweka kifungoni, kwani haijaelekea bado, mtu kama huyu atakayofanyiziwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wao wakamuweka katika kifungo kwa sababu haikukuwa bado imesemwa wazi namna ya kumufanya mutu wa namna hiyo.