Numbers 16:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hao wote waliungwa mkono na viongozi mashuhuri 250 waliochaguliwa na jumuiya yote, wakamwasi Mose.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakainuka dhidi ya Musa. Pamoja nao walikuwa wanaume Waisraeli mia mbili na hamsini, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nao, pamoja na watu kadha wa kadha wa wana wa Israeli, watu mia mbili na hamsini, Wakuu wa mkutano, waliokuwa wateule wa mkutano, watu wenye sifa, wakainuka mbele ya Musa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hao wote waliungwa mkono na viongozi mashuhuri 250 waliochaguliwa na jumuiya yote, wakamwasi Mose.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwapo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakainuka dhidi ya Musa. Pamoja nao walikuwepo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nao, pamoja na watu kadhaa wa wana wa Israeli, watu mia mbili na hamsini, Wakuu wa mkutano, waliokuwa wateule wa mkutano, watu wenye sifa, wakainuka mbele ya Musa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hao wote waliungwa mkono na viongozi mashuhuri 250 waliochaguliwa na jumuiya yote, wakamwasi Mose.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa wakamwinukia Mose pamoja na wana wa Isiraeli 250 waliokuwa wakuu mashaurini na wateule wa mkutano wenye jina kuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nao, pamoja na watu kadha wa kadha wa wana wa Israeli, watu mia mbili na hamsini, Wakuu wa mkutano, waliokuwa wateule wa mkutano, watu wenye sifa, wakainuka mbele ya Musa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hao wote waliungwa mukono na viongozi wenye heshima mia mbili makumi tano waliochaguliwa na Waisraeli, wakamwasi Musa.