Numbers 16:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakaandamana naye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mose akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakafuatana naye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Mose akaenda kwa Dathani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Mose akainuka, akaenda kwao Datani na Abiramu, nao wazee wa Waisiraeli wakamfuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Musa akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu; na wazee wa Israeli wakaandamana naye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Musa akaenda kwa Datani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.