Numbers 16:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hawa wakifa kifo cha kawaida, au wakipatwa na maafa kama watu wengine, basi jueni kuwa Mwenyezi-Mungu hakunituma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi Mwenyezi Mungu hakunituma mimi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama watu hawa wakifa kifo cha sikuzote, kama watu wote wafavyo, au kama wakipatilizwa kwa mapatilizo ya watu wote; hapo basi Bwana hakunituma mimi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hawa wakifa kifo cha kawaida, au wakipatwa na maafa kama watu wengine, basi jueni kuwa Mwenyezi-Mungu hakunituma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi BWANA hakunituma mimi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi bwana hakunituma mimi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama watu hawa wakifa kifo cha kawaida, kama watu wote wafavyo, au kama wataadhibiwa kwa adhabu ya watu wote; hapo basi BWANA hakunituma mimi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hawa wakifa kifo cha kawaida, au wakipatwa na maafa kama watu wengine, basi jueni kuwa Mwenyezi-Mungu hakunituma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
watu hawa watakapokufa, kama watu wote wanavyokufa, au watakapopatwa na mambo, watu wote wanayopatwa nayo, Bwana hakunituma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama watu hawa wakifa kifo cha sikuzote, kama watu wote wafavyo, au kama wakipatilizwa kwa mapatilizo ya watu wote; hapo basi BWANA hakunituma mimi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu hawa wakikufa kifo cha kawaida, au wakipatwa na hasara kama watu wengine, basi mujue kwamba Yawe hakunituma.