Numbers 16:37 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni avitoe hivyo vyetezo penye moto, akautapanye mbali moto uliomo ndani, maana vyetezo hivyo ni vitakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Haruni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwambie Eleazari mwana wa Haruni kuhani, avitoe vile vyetezo hapo penye moto ukaumwage huo moto kule; kwani ni vitakatifu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni avitoe hivyo vyetezo penye moto, akautapanye mbali moto uliomo ndani, maana vyetezo hivyo ni vitakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Haruni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwambie Eleazari mwana wa Haruni kuhani, avitoe vile vyetezo hapo penye moto ukaumwage huo moto kule; kwani ni vitakatifu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni avitoe hivyo vyetezo penye moto, akautapanye mbali moto uliomo ndani, maana vyetezo hivyo ni vitakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwambie Elazari, mwana wa mtambikaji Haroni, aviokote vyetezo hapo, wale walipoteketezwa, kwani ni vitakatifu; nayo makaa ya moto uyamwage huko na huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwambie Eleazari mwana wa Haruni kuhani, avitoe vile vyetezo hapo penye moto ukaumwage huo moto kule; kwani ni vitakatifu;