Numbers 16:48 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wakali hai; tauni ikazuiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aroni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliposimama katikati yao waliokufa nao walio wazima bado, hilo pigo likakomeshwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wakali hai; tauni ikazuiwa.