Numbers 16:50 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Haruni akamrudia Musa kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Aroni akamrudia Mose kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Haruni akamrudia Musa kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Haroni akarudi kwa Mose hapo pa kuliingilia Hema la Mkutano, hilo pigo lilipokuwa limekomeshwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.