Numbers 18:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hamtakuwa na hatia yoyote mkila vitu hivyo, iwapo kama mmemtolea Mwenyezi-Mungu sehemu bora kuliko zote, nanyi hamtavikufuru vitu vitakatifu vya Waisraeli na kufa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nanyi hamtachukua dhambi kwa ajili yake, hapo mtakapokwisha kuinua humo hayo mema yake; lakini msivitie unajisi vile vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ili msife.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hamtakuwa na hatia yoyote mkila vitu hivyo, iwapo kama mmemtolea Mwenyezi-Mungu sehemu bora kuliko zote, nanyi hamtavikufuru vitu vitakatifu vya Waisraeli na kufa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nanyi hamtachukua dhambi kwa ajili yake, hapo mtakapokwisha kuinua humo hayo mema yake; lakini msivitie unajisi vile vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ili msife.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hamtakuwa na hatia yoyote mkila vitu hivyo, iwapo kama mmemtolea Mwenyezi-Mungu sehemu bora kuliko zote, nanyi hamtavikufuru vitu vitakatifu vya Waisraeli na kufa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtakapovitoa vilivyo vizuri zaidi katika mapato yenu kuwa vipaji vya tambiko, basi, hamtajikosesha kwa ajili yao, wala hamtavichafua vipaji vitakatifu vya wana wa Isiraeli, msife.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nanyi hamtachukua dhambi kwa ajili yake, hapo mtakapokwisha kuinua humo hayo mema yake; lakini msivitie unajisi vile vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ili msife.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hamutakuwa na kosa lolote mukikula vitu hivyo, ikiwa kama mumemutolea Yawe sehemu bora kuliko zote, nanyi hamutachafua vitu vitakatifu vya Waisraeli na kufa.