Numbers 2:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hatimaye kabila la Benyamini: Kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena kabila ya Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hatimaye kabila la Benyamini: kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hatimaye kabila la Benyamini: Kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena wao wa shina la Benyamini, naye mkuu wa wana wa Benyamini ni Abidani, mwana wa Gideoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena kabila ya Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha kabila la Benjamina: kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,