Numbers 22:33 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Punda aliponiona akaondoka njiani mbele yangu sasa mara ya tatu; kama asingaliondoka njiani mbele yangu, ningalikwisha kukuua wewe mwenyewe na kumponya yeye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Punda wako ameniona akaniepuka mara tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha muzima punda huyu.