Numbers 23:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo, Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nimekuleta hapa uwalaani adui zangu, lakini badala yake umewabariki!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Balaki akamwambia Balaamu, Umenitendea nini? Nimekuleta ili Uwalaani adui zangu, na tazama, umewabariki kabisa kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo, Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nimekuleta hapa uwalaani adui zangu, lakini badala yake umewabariki!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Balaki akamwambia Balaamu, Umenitendea nini? Nimekuleta ili Uwalaani adui zangu, na tazama, umewabariki kabisa kabisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo, Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nimekuleta hapa uwalaani adui zangu, lakini badala yake umewabariki!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Balaka alipomwambia Bileamu: Umenifanyizia nini? Nimekuchukua, uwaapize adui zangu, kumbe umewabariki!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Balaki akamwambia Balaamu, Umenitendea nini? Nimekuleta ili Uwalaani adui zangu, na tazama, umewabariki kabisa kabisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, Balaki akamwambia Balamu: Umenifanyia nini? Nimekuleta hapa uwalaani waadui zangu, lakini pahali pake umewabariki!