Numbers 23:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Balaki akamchukua Balaamu akaenda naye mpaka kilele cha mlima Peori, mahali paelekeapo upande wa nyika iliyo chini yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Balaki akamchukua Balaamu akaenda naye mpaka kilele cha mlima Peori, mahali paelekeapo upande wa nyika iliyo chini yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Balaka akamchukua Bileamu, akampeleka juu mlimani kwa Peori kunakoelekea jangwani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Balaki akamchukua Balaamu akaenda naye mpaka kilele cha mlima Peori, mahali paelekeapo upande wa nyika iliyo chini yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Balaki akamupeleka Balamu mpaka kwenye kilele cha mulima Peori, ambapo mutu akisimama anaona katika jangwa.