Numbers 24:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye kutawala atakuja toka Yakobo, Atawaangamiza watakaobaki mjini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye kutawala atakuja kutoka Yakobo, Atawaangamiza watakaobaki mjini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwenye kutawala atatoka mwake Yakobo, nao waliokimbia na kutoka mijini atawaangamiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye kutawala atakuja toka Yakobo, Atawaangamiza watakaobaki mjini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumoja wa wazao wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaobaki katika muji.