Numbers 24:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena Balaamu akatoa kauli hii: “Lo! Nani ataishi, Mungu atakapofanya hayo?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Ole wao! Ni nani ataweza kuishi Mungu atakapofanya hili?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akatunga mithali yake akasema, Ole wao! Ni nani atakayepona, Mungu atakapofanya haya?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena Balaamu akatoa kauli hii: “Lo! Nani ataishi, Mungu atakapofanya hayo?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akatunga mithali yake akasema, Ole wao! Ni nani atakayepona, Mungu atakapofanya haya?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena Balaamu akatoa kauli hii: “Lo! Nani ataishi, Mungu atakapofanya hayo?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akasema maneno yake mengine kwamba: Hoi! Yuko nani atakayepona, yatakapowapata? Nayo yatawapata hapo, Mungu atakapoyatimiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akatunga mithali yake akasema, Ole wao! Ni nani atakayepona, Mungu atakapofanya haya?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena Balamu akatoa mashairi haya: Ole! Nani ataishi Mungu atakapofanya hayo?