Numbers 24:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
naye akatamka kauli hii ya kinabii: Kauli yangu mimi Balaamu mwana wa Peori kauli ya mtu aliyefumbuliwa macho;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akatunga mithali yake, akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbwa macho asema;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
naye akatamka kauli hii ya kinabii: Kauli yangu mimi Balaamu mwana wa Peori kauli ya mtu aliyefumbuliwa macho;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akatunga mithali yake, akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbuliwa macho asema;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
naye akatamka kauli hii ya kinabii: Kauli yangu mimi Balaamu mwana wa Peori kauli ya mtu aliyefumbuliwa macho;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akaanza kusema maneno yake kwamba: Hivi ndivyo, asemavyo Bileamu, mwana wa Peori, hivi ndivyo, asemavyo mtu aliyefumbwa macho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akatunga mithali yake, akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbwa macho asema;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
naye akasema mashairi haya ya Yawe: Mashairi yangu mimi Balamu mwana wa Peori mashairi ya mutu aliyefumbuliwa macho.