Numbers 24:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu mtu aliyeona maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu na kuona wazi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ujumbe wake yeye anayesikia maneno ya Mungu, anayeona maono kutoka kwa Mwenyezi, ambaye husujudu, na macho yake yamefunguka:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu mtu aliyeona maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu na kuona wazi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi, ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi, ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu mtu aliyeona maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu na kuona wazi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivi ndivyo, asemavyo aliyesikia maneno ya Mungu, aliyeona maono yake aliye Mwenyezi, aliyefumbuliwa macho alipomwangukia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anasema yeye aliyesikia maneno ya Mungu, mutu aliyeona maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mutu anayeinama uso mpaka chini na kuona wazi.