Numbers 24:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mfalme wao atakuwa mkuu kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maji yatatiririka kutoka ndoo zake; mbegu yake itakuwa na maji tele. “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi; ufalme wake utatukuka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maji yatafurika katika ndoo zake, Na mbegu zake zitakuwa katika maji mengi. Na mfalme wake ataadhimishwa kuliko Agagi, Na ufalme wake utatukuzwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mfalme wao atakuwa mkuu kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maji yatatiririka kutoka katika ndoo zake; mbegu yake itakuwa na maji tele. “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi; ufalme wake utatukuka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maji yatatiririka kutoka ndoo zake; mbegu yake itakuwa na maji tele. “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi; ufalme wake utatukuka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maji yatatiririka kutoka ndoo zake, Na mbegu zake zitakuwa katika maji mengi. Na mfalme wake ataadhimishwa kuliko Agagi, Na ufalme wake utatukuzwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mfalme wao atakuwa mkuu kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndoo zake huchuruzisha maji mengi, nazo mbegu zake hunyweshwa maji mengi. Mfalme wake ni mkuu kuliko Agagi, nao ufalme wake utatukuka sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maji yatafurika katika ndoo zake, Na mbegu zake zitakuwa katika maji mengi. Na mfalme wake ataadhimishwa kuliko Agagi, Na ufalme wake utatukuzwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mufalme wao atakuwa mukubwa kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.