Numbers 25:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu elfu ishirini na nne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao waliokufa kwa hilo pigo walikuwa watu elfu ishirini na nne hesabu yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao waliouawa na hilo pigo walikuwa watu 24000.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao waliokufa kwa hilo pigo walikuwa watu elfu ishirini na nne hesabu yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waliokufa kutokana na ugonjwa ule mukali walikuwa watu elfu makumi mbili na ine.