Numbers 26:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Simeoni kwa ndugu zao walikuwa: Nemueli, baba ya ndugu zao Wanemueli, Yamini, baba ya ndugu zao Wayamini, Yakini, baba ya ndugu zao Wayakini,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,