Numbers 26:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa Manase; wa Makiri, jamaa ya Wamakiri; na Makiri akamzaa Gileadi; wa Gileadi, jamaa ya Wagileadi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa Manase; wa Makiri, jamaa ya Wamakiri; na Makiri akamzaa Gileadi; wa Gileadi, jamaa ya Wagileadi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Manase walikuwa: Makiri, baba ya ndugu zao Wamakiri, naye Makiri akamzaa Gileadi, naye Gileadi alikuwa baba ya ndugu zao Wagileadi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa Manase; wa Makiri, jamaa ya Wamakiri; na Makiri akamzaa Gileadi; wa Gileadi, jamaa ya Wagileadi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi,