Numbers 26:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yezeri, Heleki,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa walikuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawa ndio wana wa Gileadi; wa Abiezeri, jamaa ya Waabiezeri; wa Heleki, jamaa ya Waheleki;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yezeri, Heleki,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hawa ndio wana wa Gileadi; wa Abiezeri, jamaa ya Waabiezeri; wa Heleki, jamaa ya Waheleki;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yezeri, Heleki,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Gileadi walikuwa: Iezeri, baba ya ndugu zao Waiezeri, Heleki, baba ya ndugu zao Waheleki,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawa ndio wana wa Gileadi; wa Abiezeri, jamaa ya Waabiezeri; wa Heleki, jamaa ya Waheleki;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yezeri, Heleki,