Numbers 26:35 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Efuraimu kwa ndugu zao walikuwa: Sutela, baba ya ndugu zao Wasutela, Bekeri, baba ya ndugu zao Wabekeri, Tahani, baba ya ndugu zao Watahani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kabila la Efuraimu lilikuwa na jamaa za Sutela, Bekeri na Tahani.