Numbers 26:38 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kabila la Benyamini lilikuwa na jamaa za Bela, Ashbeli, Ahiramu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kabila la Benyamini lilikuwa na jamaa za Bela, Ashbeli, Ahiramu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kabila la Benyamini lilikuwa na jamaa za Bela, Ashbeli, Ahiramu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Benyamini kwa ndugu zao walikuwa: Bela, baba ya ndugu zao Wabela, Asibeli, baba ya ndugu zao Waasibeli, Ahiramu, baba ya ndugu zao Waahiramu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kabila la Benjamina lilikuwa na jamaa za Bela, Asibeli, Ahiramu,