Numbers 26:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwanza ni kabila la Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Henoki, Palu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli, wana wa Reubeni; wa Hanoki, jamaa ya Wahanoki; na wa Palu, jamaa ya Wapalu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwanza ni kabila la Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Henoki, Palu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli, wana wa Reubeni; wa Hanoki, jamaa ya Wahanoki; na wa Palu, jamaa ya Wapalu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwanza ni kabila la Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Henoki, Palu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Rubeni, mwana wa kwanza wa Isiraeli, wanawe Rubeni walikuwa: Henoki, baba ya ndugu zao Wahenoki, Palu, baba ya ndugu zao Wapalu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli, wana wa Reubeni; wa Hanoki, jamaa ya Wahanoki; na wa Palu, jamaa ya Wapalu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwanza ni kabila la Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Hanoki, Palu,