Numbers 26:53 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Makabila haya yatagawiwa nchi iwe urithi wao, kulingana na idadi ya majina yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Watagawiwa nchi kama urithi kulingana na hesabu ya majina.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu hawa watagawanyiwa nchi hiyo iwe urithi wao, vile vile kama hesabu ya majina yao ilivyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Makabila haya yatagawiwa nchi iwe urithi wao, kulingana na idadi ya majina yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu hawa watagawiwa nchi hiyo iwe urithi wao, kulingana na idadi yao ilivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Makabila haya yatagawiwa nchi iwe urithi wao, kulingana na idadi ya majina yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio watakaogawiwa nchi hiyo kwa hesabu ya majina.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu hawa watagawanyiwa nchi hiyo iwe urithi wao, vile vile kama hesabu ya majina yao ilivyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Makabila haya yatagawanyiwa inchi ikuwe urizi wao, kulingana na hesabu ya majina yao.