Numbers 26:56 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wao walio wengi nao walio wachache sharti mafungu yao ya kuwa yao wenyewe wagawiwe kwa kupigiwa kura.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Urizi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.