Numbers 27:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na jumuiya yote, umkabidhi jukumu hilo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kisha ukamweke mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya mkutano wote; ukampe mausia mbele ya macho yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na jumuiya yote, umkabidhi jukumu hilo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha ukamweke mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya jumuiya yote; ukampe mausia mbele ya macho yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na jumuiya yote, umkabidhi jukumu hilo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha msimamishe mbele ya mtambikaji Elazari machoni pao walio wa mkutano huu, umwagizie mambo yako machoni pao
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kisha ukamweke mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya mkutano wote; ukampe mausia mbele ya macho yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kumusimamisha mbele ya kuhani Eleazari na watu wote, umupatie kazi hiyo.