Numbers 27:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ikiwa hana binti, basi urithi huo watapewa ndugu zake wa kiume.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ikiwa hana binti, mtawapa nduguze urithi wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ikiwa hana binti, basi urithi huo watapewa ndugu zake wa kiume.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ikiwa hana binti, mtawapa nduguze urithi wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ikiwa hana binti, basi urithi huo watapewa ndugu zake wa kiume.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama hata mwana wa kike hakuwa naye, mtawapa ndugu zake fungu lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ikiwa hana binti, mtawapa nduguze urithi wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ikiwa hana binti, basi urizi huo utapewa kwa wandugu zake wanaume.