Numbers 3:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkuu wao wa mlango wa baba yao Kehati awe Elisafani, mwana wa Uzieli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
naye Elisafani, akiwa mukubwa wa ukoo huo wa jamaa za Wakohati.