Numbers 3:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili. Hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hao watapanga rago upande wa maskani, wa kaskazini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hao watapiga kambi upande wa maskani, wa kaskazini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakaambiwa, mkuu wao wa mlango wa baba yao Merari awe Surieli, mwana wa Abihaili, nao wapige makambi upande wa kaskazini wa Kao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hao watapanga rago upande wa maskani, wa kaskazini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukubwa wa ukoo wa jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa watapiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu.