Numbers 30:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na baba yake akawa amesikia ahadi hiyo, asimpinge, basi, nadhiri zake alizoweka zitambana na kila ahadi aliyotoa itambana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na baba yake akasikia kuhusu nadhiri au ahadi yake lakini asimwambie lolote, ndipo nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na kujifunga kwayo itathibitika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
babaye naye akasikia nadhiri yake, na kile kifungo chake alichofungia nafsi yake, na babaye akamnyamazia; ndipo nadhiri zake zote zitathibitika, na kila kifungo alichofungia nafsi yake kitathibitika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msichana ambaye bado anaishi nyumbani kwa baba yake akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu na kujifunga mwenyewe kwa ahadi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na baba yake akasikia kuhusu nadhiri au ahadi yake lakini asimwambie lo lote, ndipo nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na kujifunga kwayo itathibitika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na baba yake akasikia kuhusu nadhiri au ahadi yake lakini asimwambie lolote, ndipo nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na kujifunga kwayo itathibitika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
babaye naye akasikia nadhiri yake, na kile kifungo chake alichofungia nafsi yake, na babaye akamnyamazia; ndipo nadhiri zake zote zitathibitika, na kila kifungo alichofungia nafsi yake kitathibitika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na baba yake akawa amesikia ahadi hiyo, asimpinge, basi, nadhiri zake alizoweka zitambana na kila ahadi aliyotoa itambana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye baba yake akipata habari ya kule kuapa kwake au ya kujifungia kifungo cho chote, basi, baba yake akimnyamazia kimya, yote aliyoyaapa yatakuwapo, navyo vifungo vyote, alivyojifungia, vitakuwa vimemfunga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
babaye naye akasikia nadhiri yake, na kile kifungo chake alichofungia nafsi yake, na babaye akamnyamazia; ndipo nadhiri zake zote zitathibitika, na kila kifungo alichofungia nafsi yake kitathibitika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Binti ambaye angali anaishi katika nyumba ya baba yake akiahidi mbele ya Yawe na kufanya kiapo,