Numbers 31:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Walipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatenda Waisraeli; kisha wewe utafariki.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walipize kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Walipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatenda Waisraeli; kisha wewe utafariki.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walipizie kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Walipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatenda Waisraeli; kisha wewe utafariki.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipizie wana wa Isiraeli kwa Wamidiani! Kisha utachukuliwa kwenda kwao walio ukoo wako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walipize kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwalipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatendea Waisraeli; kisha wewe utakufa.