Numbers 31:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nanyi mtazifua nguo zenu siku ya saba, nanyi mtakuwa safi, kisha baadaye mtaingia maragoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nanyi mtazifua nguo zenu siku ya saba, nanyi mtakuwa safi, kisha baadaye mtaingia kambini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha sharti mzifue nguo zenu siku ya saba; ndipo, mtakapokuwa wenye kutakata, baadaye mtaingia makambini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nanyi mtazifua nguo zenu siku ya saba, nanyi mtakuwa safi, kisha baadaye mtaingia maragoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku ya saba munapaswa kufua nguo zenu; ndipo mutakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia katika kambi.