Numbers 33:53 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtaichukua nchi hiyo na kukaa humo kwa sababu nimewapeni muimiliki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nanyi mtaishika hiyo nchi kuimiliki na kuketi humo; kwa kuwa mimi nimewapa ninyi hiyo nchi ili mwimiliki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtaichukua nchi hiyo na kukaa humo kwa sababu nimewapeni muimiliki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nanyi mtaishika hiyo nchi kuimiliki na kuishi humo; kwa kuwa mimi nimewapa ninyi hiyo nchi ili mwimiliki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtaichukua nchi hiyo na kukaa humo kwa sababu nimewapeni muimiliki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha mtaichukua hiyo nchi, mkae huko, kwani nimewapa ninyi nchi hiyo, mwichukue, iwe yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nanyi mtaishika hiyo nchi kuimiliki na kuketi humo; kwa kuwa mimi nimewapa ninyi hiyo nchi ili mwimiliki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutatwaa inchi hiyo na kukaa mule kwa sababu nimewapa muirizi.