Numbers 34:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kutoka Mlima Hori mtatia alama hadi pito la Hamathi, na kuendelea hadi Sedadi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na kutoka mlima wa Hori mtaandika mpaka kuingilia kwake Hamathi; na kutokea kwake mpaka kutakuwa hapo Sedada;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kutoka Mlima Hori mtatia alama hadi pito la Hamathi, na kuendelea hadi Sedadi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na kutoka mlima wa Hori mtaweka alama hadi Hamathi; na kutokea kwake mpaka hadi hapo Sedada;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kutoka Mlima Hori mtatia alama hadi pito la Hamathi, na kuendelea hadi Sedadi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
toka mlimani kwa Hori mwufikishe mpaka Hamati, kisha mpaka huu tokee Sedadi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na kutoka mlima wa Hori mtaandika mpaka kuingilia kwake Hamathi; na kutokea kwake mpaka kutakuwa hapo Sedada;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kutoka mulima Hori, mpaka kwenye njia inayokwenda Hamati, na kuendelea mpaka Sedadi,