Numbers 35:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapovuka mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Wakati mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapovuka mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sema na wana wa Isiraeli, uwaambie: Hapo, mtakapouvuka Yordani na kuingia katika nchi ya Kanaani,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapovuka mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwaambie Waisraeli kwamba wakati mutakapovuka muto Yordani na kuingia katika inchi ya Kanana,