Numbers 4:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wakawaorodhesha watu wote wenye umri kati ya miaka thelathini na hamsini, kila aliyefaa kuingia katika huduma ya hema la mkutano.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wakawaorodhesha watu wote wenye umri kati ya miaka thelathini na hamsini, kila aliyefaa kuingia katika huduma ya hema la mkutano.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wakawaorodhesha watu wote wenye umri kati ya miaka thelathini na hamsini, kila aliyefaa kuingia katika huduma ya hema la mkutano.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
waliokuwa wenye miaka thelathini na zaidi mpaka miaka hamsini, ndio waliofaa wote kuuingia utumishi, wafanye kazi za kutumikia Hemani mwa Mkutano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wakawahesabu watu wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, kila mutu aliyefaa kuingia katika kazi ya hema la mukutano.