Numbers 5:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila kitu kilichowekwa wakfu kwa Mungu na kupelekwa kwa kuhani kitakuwa chake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena vitu vilivyowekwa wakfu na mtu awaye yote, vitakuwa ni vya kuhani; kitu cho chote mtu atakachompa kuhani, kitakuwa chake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila kitu kilichowekwa wakfu kwa Mungu na kupelekwa kwa kuhani kitakuwa chake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena vitu vilivyowekwa wakfu na mtu awaye yote, vitakuwa ni vya kuhani; kitu chochote mtu atakachompa kuhani, kitakuwa chake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila kitu kilichowekwa wakfu kwa Mungu na kupelekwa kwa kuhani kitakuwa chake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vipaji vyo vyote, mtu atakavyovitoa kuwa vitakatifu, vitakuwa vyake mtambikaji, navyo vyote, mtu atakavyompa mtambikaji, vitakuwa vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena vitu vilivyowekwa wakfu na mtu awaye yote, vitakuwa ni vya kuhani; kitu cho chote mtu atakachompa kuhani, kitakuwa chake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kila kitu kitakatifu cha mutu kitakuwa cha kuhani; kitu chochote mutu anachomutolea kuhani kitakuwa chake.