Numbers 5:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Waamuru Waisraeli wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma, kila mtu anayetokwa usaha, na kila aliye najisi kwa kugusa maiti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote mwenye ugonjwa wa ngozi uambukizao, au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa sababu ya maiti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waamrishe wana wa Israeli kwamba wamtoe kila mwenye ukoma maragoni, na kila mtu aliye na kisonono, na kila aliye najisi kwa ajili ya wafu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Waamuru Waisraeli wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma, kila mtu anayetokwa usaha, na kila aliye najisi kwa kugusa maiti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu ye yote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao, au anayetokwa na majimaji ya aina yo yote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao, au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waamrishe wana wa Israeli kwamba wamtoe kila mwenye ukoma kambini, na kila mtu aliye na kisonono, na kila aliye najisi kwa ajili ya maiti;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Waamuru Waisraeli wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma, kila mtu anayetokwa usaha, na kila aliye najisi kwa kugusa maiti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waagize wana wa Isiraeli, watoe makambini wote walio wenye ukoma nao wote walio wenye kisonono nao wote waliojipatia uchafu kwa kugusa mfu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waamrishe wana wa Israeli kwamba wamtoe kila mwenye ukoma maragoni, na kila mtu aliye na kisonono, na kila aliye najisi kwa ajili ya wafu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwaamuru Waisraeli wamutoe inje ya kambi kila mutu mwenye ukoma, kila mutu anayetokwa usaha, na kila anayekuwa muchafu kwa kugusa maiti.