Numbers 5:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena kila sadaka ya kuinuliwa, ya vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, watakavyosongeza kwa kuhani, itakuwa ni yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena kila sadaka ya kuinuliwa, ya vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, watakavyovileta kwa kuhani, vitakuwa ni vyake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Navyo vipaji vyote vya tambiko, wana wa Isiraeli watakavyovitoa kuwa vitakatifu vya kumnyanyulia Bwana, na wampelekee mtambikaji, navyo vitakuwa vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena kila sadaka ya kuinuliwa, ya vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, watakavyosongeza kwa kuhani, itakuwa ni yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila sadaka ya matoleo yote matakatifu ya Waisraeli watakayomuletea kuhani, itakuwa yake.