Numbers 7:12 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, yule aliyetoa sadaka siku ya kwanza, alikuwa Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, yule aliyetoa sadaka siku ya kwanza, alikuwa Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, yule aliyetoa sadaka siku ya kwanza, alikuwa Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliyeyatoa matoleo yake siku ya kwanza alikuwa Nasoni, mwana wa Aminadabu, wa shina la Yuda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda;