Numbers 7:36 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya tano Selumieli, mwana wa Surisadai, mkuu wa wana wa Simeoni akaleta vipaji vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;