Numbers 7:48 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku ya saba ikawa zamu ya Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa kabila la Efraimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, mkuu wa wana wa Efraimu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku ya saba ikawa zamu ya Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa kabila la Efraimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, mkuu wa wana wa Efraimu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku ya saba ikawa zamu ya Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa kabila la Efraimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya saba Elisama, mwana wa Amihudi, mkuu wa wana wa Efuraimu, akaleta vipaji vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, mkuu wa wana wa Efraimu;